Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,033
- 723
Wakuu,
Si wote tunaweza kwenda China kufuata mizigo hasa hii midogo midogo ya matumizi ya kawaida na pengine biashara. kwa miaka takribani mwili nimekuwa nikiagiza kupitia hawa jamaa wanaitwa UNIQUE CARGO awali walikuwa wanafanya vema lakini kwa siku za karibuni naona wanasua sua. mzigo wa ndege unafika baada ya mwezi au zaidi na huduma zao za customer care kama haziko normal.
Niombe anayejua kampuni nyingine hasa inayowaisha mizigo na ina office China na Tanzania naomba kuijua.
Note:Isiwe wale wanaotaka kutumiwa fedha wao ili wanunue kwa niaba, nataka wale wanakupa china address mimi namtumia tu suplier
Si wote tunaweza kwenda China kufuata mizigo hasa hii midogo midogo ya matumizi ya kawaida na pengine biashara. kwa miaka takribani mwili nimekuwa nikiagiza kupitia hawa jamaa wanaitwa UNIQUE CARGO awali walikuwa wanafanya vema lakini kwa siku za karibuni naona wanasua sua. mzigo wa ndege unafika baada ya mwezi au zaidi na huduma zao za customer care kama haziko normal.
Niombe anayejua kampuni nyingine hasa inayowaisha mizigo na ina office China na Tanzania naomba kuijua.
Note:Isiwe wale wanaotaka kutumiwa fedha wao ili wanunue kwa niaba, nataka wale wanakupa china address mimi namtumia tu suplier