Nani mwanzilishi wa mtaala wa elimu yetu?

Nani mwanzilishi wa mtaala wa elimu yetu?

Skyblue

Senior Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
196
Reaction score
55
Samahani wakuu naomba kufahamu hilo kama kichwa cha habari kinavyoeleza.

Nimejaribu kujiuliza elimu yetu vs msaada katika maisha ya kawaida our educational is non creativity, hata ukiuliza nini matarajio hakuna anayeweza elezea zaidi ya baada ya kumaliza ntaajiriwa.

Nimwaza sana juu ya elimu yetu ila nahisi bora tungekuwa nakitu kingine badala ya elimu.

Naomba mnisaidie kama heading inavyosema.
 
Samahani wakuu naomba kufahamu hilo kama kichwa cha habari kinavyoeleza.

Nimejaribu kujiuliza elimu yetu vs msaada katika maisha ya kawaida our educational is non creativity, hata ukiuliza nini matarajio hakuna anayeweza elezea zaidi ya baada ya kumaliza ntaajiriwa.

Nimwaza sana juu ya elimu yetu ila nahisi bora tungekuwa nakitu kingine badala ya elimu.

Naomba mnisaidie kama heading inavyosema.
Subiri waje.. ila nnavyojua mfumo wetu wa elimu tume kopi huko majuu na kuu edit kidogo then tukau adopt...

Mengine watajazi wajuzi.
 
Samahani wakuu naomba kufahamu hilo kama kichwa cha habari kinavyoeleza.

Nimejaribu kujiuliza elimu yetu vs msaada katika maisha ya kawaida our educational is non creativity, hata ukiuliza nini matarajio hakuna anayeweza elezea zaidi ya baada ya kumaliza ntaajiriwa.

Nimwaza sana juu ya elimu yetu ila nahisi bora tungekuwa nakitu kingine badala ya elimu.

Naomba mnisaidie kama heading inavyosema.
Kwa elimu ya nchi hii tumetoa kwa watu wa magharibi hila sijajua kwa watu wa magharib wao wametoa wapi
 
Back
Top Bottom