fredymahenge
Member
- Nov 19, 2014
- 70
- 28
hivi ni nani mwenye jukumu la kufuatilia ili kuhakikisha michango ya NSSF inaingia?
1, mm mwanachama? au
2, nssf wenyewe
maana utakuta mwajiri hajaingizaichango zaidi ya mwaka na ukiuliza nssf wanakodoa macho.
jukumu hili ni la nani?
1, mm mwanachama? au
2, nssf wenyewe
maana utakuta mwajiri hajaingizaichango zaidi ya mwaka na ukiuliza nssf wanakodoa macho.
jukumu hili ni la nani?