@Katavi!
Hapo kuna kitu cha kujifunza
1. Je huyo mtoto alizaliwa wakati sahihi
2. Je, wazazi wa huyo mtoto walijiandaa
3. Je, mazingira yalikuwa tayari kumpokea huyo mtoto
4. Je, huyo ni mzazi sahihi .
Kwa huyu mama sina la kuongeza hapo.....
Ni kweli kwa sasa tuna changamoto kubwa sana katika makuuzi za watoto wetu, tusishangae watoto wetu wakawa na tabia ambazo hata sisi wazazi hatujui zilipotoka....
Imagini mtoto toka akiwa na miezi mitatu yuko chini ya malezi ya mahouse Girl (DADA), na sisi wazazi tuko busy na kazi na kuachia hao wamlee. chakula cha mtoto, kulala, kuoga na matumizi ya dawa yote ni hawa madada. Jua hawa wametokea katika familia na makuzi tofauti na wana matabia yao tofauti hivyo ni rahisi kwa watoto kuiga kwa mtu alie karibu yake.
Tunahitaji neema ya Mungu katika hili, ni Mungu mwenyewe anatutunzia watoto wetu, Tuwaombee sana kwa Mungu awalinge na kuwakuuza katika njia yake. napenda sana watoto we acha tuu!!