Sio vibaya, mdada mwingine anakuwa amekupenda tangu zamani ila aliona aibu kukwambia. Sasa ukimtongoza lazima achangamkie fursa mapema iwezekanavyo. Ila kama hakukupenda wala muda wa kukufikiria hana atakupotezea mara moja.
Sio vibaya, mdada mwingine anakuwa amekupenda tangu zamani ila aliona aibu kukwambia. Sasa ukimtongoza lazima achangamkie fursa mapema iwezekanavyo. Ila kama hakukupenda wala muda wa kukufikiria hana atakupotezea mara moja.