Nani na nani wanazitest kondomu kabla hazijasambazwa?

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Wanazitest kama vile tunavotumia (kwamba unamchagua mdada/mkaka then mna do) au? Isije wao wanatest kwa robot afu sie tunakubali tu. Kama ni binadamu ndio wanafanya kazi hiyo ikiwezekana wawe wanabadilika badilika hata kwa kugombea kama vile ubunge(ili na mimi niwe mgombea, hahaha) najua hata akina @exllent BAGAH Kongosho,pretta mama D,@ff Erickb52 n. k watakuwa wagombea
 
Last edited by a moderator:
Deejay nasmile unatamani kama ungetest na nani vile!!??
dah hapo ungenikosa maana mimi mtu wa pekupeku,,,,,,hizo vitu situmiagi kabsaaaaa
hahaaaa lol

duh,labda ngoja nimsubili first lady atasemaje teh
 
Dah! Tbs, Tfda, Baraza la ushindani la Taifa, PSI, what all these doing hadi tuletewe condom mbovu!? bora nipige kavu inaweza saidia nikawa na mmoja wa kumwamini kuliko kuamini wasioaminika,
 
Dah! Tbs, Tfda, Baraza la ushindani la Taifa, PSI, what all these doing hadi tuletewe condom mbovu!? bora nipige kavu inaweza saidia nikawa na mmoja wa kumwamini kuliko kuamini wasioaminika,

Piga kavu upoteze appetite ya tunda milele...
Hahahahahaaa bora ikupasukie kuliko kuanza kavu tangu mwanzo
 
duh, hii test ni kama on job training, si lazima usomee.
 
Deejay nasmile unatamani kama ungetest na nani vile!!??
dah hapo ungenikosa maana mimi mtu wa pekupeku,,,,,,hizo vitu situmiagi kabsaaaaa
hahaaaa lol
Mkuu @mama D pamoja na wewe kupenda Pekupeku lakini itabidi mpenzi wako muende kupima HIV kabla kucheza nae Pekupeku au sivyo mkuu?
 
Deejay nasmile unatamani kama ungetest na nani vile!!??
dah hapo ungenikosa maana mimi mtu wa pekupeku,,,,,,hizo vitu situmiagi kabsaaaaa
hahaaaa lol

Mama D kuna zoezi la kutest utamu wa kavu.... teh sijapatawa kutest nae
 
Yai la samaki linaanza kuogelea hata kabla halijawa samaki.

Au kisamaki kidooogo au kidagaa hakiuwawi na sunami.

Wananitania hawa.

Hapa husomei kitu....kwani mbuzi huwa wanasomea wapi??
 
Yai la samaki linaanza kuogelea hata kabla halijawa samaki.

Au kisamaki kidooogo au kidagaa hakiuwawi na sunami.

Wananitania hawa.
Umeona eeh
Ila watakapoamua testing poa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…