Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Deejay nasmile unatamani kama ungetest na nani vile!!??
dah hapo ungenikosa maana mimi mtu wa pekupeku,,,,,,hizo vitu situmiagi kabsaaaaa
hahaaaa lol
Hahahahahahahahahaaa
aisee Deejay lol
Ila tungeruhusiwa kuchagua na wa kutest nae lol hope my love angefaa zaidi....duh,labda ngoja nimsubili first lady atasemaje teh
niambie mgombea mwenza hahahah
kuhusu utestiji ngoja tukamuulize mjomba ekelege..au braza MziziMkavu
Dah! Tbs, Tfda, Baraza la ushindani la Taifa, PSI, what all these doing hadi tuletewe condom mbovu!? bora nipige kavu inaweza saidia nikawa na mmoja wa kumwamini kuliko kuamini wasioaminika,
kuhusu utestiji ngoja tukamuulize mjomba ekelege..au braza MziziMkavu
aisee hapo hujakosea kabisa
Hapa husomei kitu....kwani mbuzi huwa wanasomea wapi??duh, hii test ni kama on job training, si lazima usomee.
Mkuu @mama D pamoja na wewe kupenda Pekupeku lakini itabidi mpenzi wako muende kupima HIV kabla kucheza nae Pekupeku au sivyo mkuu?Deejay nasmile unatamani kama ungetest na nani vile!!??
dah hapo ungenikosa maana mimi mtu wa pekupeku,,,,,,hizo vitu situmiagi kabsaaaaa
hahaaaa lol
Deejay nasmile unatamani kama ungetest na nani vile!!??
dah hapo ungenikosa maana mimi mtu wa pekupeku,,,,,,hizo vitu situmiagi kabsaaaaa
hahaaaa lol
Hapa husomei kitu....kwani mbuzi huwa wanasomea wapi??
Mama D kuna zoezi la kutest utamu wa kavu.... teh sijapatawa kutest nae
Umeona eehYai la samaki linaanza kuogelea hata kabla halijawa samaki.
Au kisamaki kidooogo au kidagaa hakiuwawi na sunami.
Wananitania hawa.