wanawake tumepewa moyo wenye kuhifadhi sana mambo mazito kuliko wanaume, hawawezi kabisa kuhimili mikiki ya aina hii, ila wanawake wanaweza kabisa kuhimili, hivo kwa hali hiyo wote kila mtu kwa nafasi yake anaelewa nani ni mdhaifu zaidi, thats why wanaume kwa wanavotuchukulia, hawategemei tufanye mabaya coz tunajua wao hawawezi himili, ila kwa wao kujua kwamba sie tunaweza himili mikikimikiki, anafanya watakavyo