Wewe unayeuliza anayemiliki so what? kwa magazeti ya mengi yasipotajwa what is a deal?? (magazeti ya mengi yana umuhimu kwako kanunue) kwa chanel 10 siyo muhimu???ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia taarifa ya habari ya ch10 kwenye kipengele cha uchambuzi wa magazeti na mara zote magazeti ya the guardian ltd ya mzee mengi huwa yanawekwa kapuni.sasa naomba kuuliza kwa anayefahamu mmiliki wake ninahisi kuna influence fulani hapo.
Kwa muda wa kutosha sasa Channel imekuwa mali ya Rostam Aziz na genge lake na hii ndiyo vita kubwa iliyoko Tanganyika hapa .Tumaini kuwa na sense kiasi ndugu .Mtu kaluliza swali mjibu kama una jibu kama huwezi kaa pembeni .
Kivipi? sijaona tatizo la station kutakuonyesha magazeti ya mengi?? sioni kama ni big deal! Magazeti ya mengi yanapata coverage kubwa inatosha sana tu!Tumaini akinusa harufu ya dini tu basi ana-react accordingly
Chombo cha habari ni kwa ajili ya wananchi,huwezi kuwanyima baadhi ya taarifa,kama ni mchoyo wa habari hufai kumiliki chombo cha habari,ili habari zako za uchoyo uwasimulie familia yako.Tabia ya kutetea mafisadi hapa JF ikome kwani si sehemu yake,kama unawahusudu mafisadi ukanywe nao kahawa.Mafisadi na makuwadi wao washidwe na walegee kwa jina la Yesu.Wewe unayeuliza anayemiliki so what? kwa magazeti ya mengi yasipotajwa what is a deal?? (magazeti ya mengi yana umuhimu kwako kanunue) kwa chanel 10 siyo muhimu???
Utawajua walionunuliwa na watu mlima mrefu.
Wewe unayeuliza anayemiliki so what? kwa magazeti ya mengi yasipotajwa what is a deal?? (magazeti ya mengi yana umuhimu kwako kanunue) kwa chanel 10 siyo muhimu???
Utawajua walionunuliwa na watu mlima mrefu.
Tabia ya kutetea ubaguzi kwa misingi ya rangi ikome kabisa hapa JF mmiliki wa vyombo habari ana haki ya kutangaza chochote na kuacha chochote kutegemeana na muda uliopo (air time) na maslahi yake ya kibiashara pamoja na ethics za uandishi! kutokutamgaza magazeti ya mengi kati ya magazeti yote nchini siyo big deal?? who is he? mengi naye fisadi tu tena nyangumi so sijaona unachotetea hapoChombo cha habari ni kwa ajili ya wananchi,huwezi kuwanyima baadhi ya taarifa,kama ni mchoyo wa habari hufai kumiliki chombo cha habari,ili habari zako za uchoyo uwasimulie familia yako.Tabia ya kutetea mafisadi hapa JF ikome kwani si sehemu yake,kama unawahusudu mafisadi ukanywe nao kahawa.Mafisadi na makuwadi wao washidwe na walegee kwa jina la Yesu.
Tabia ya kutetea ubaguzi kwa misingi ya rangi ikome kabisa hapa JF mmiliki wa vyombo habari ana haki ya kutangaza chochote na kuacha chochote kutegemeana na muda uliopo (air time) na maslahi yake ya kibiashara pamoja na ethics za uandishi! kutokutamgaza magazeti ya mengi kati ya magazeti yote nchini siyo big deal?? who is he? mengi naye fisadi tu tena nyangumi so sijaona unachotetea hapo