Nani ni mmiliki wa Channel 10?


Tumain,

Umetumwa na nani????? Mbona unaonekana kama vile una agenda ya siri? Usiiaibishe JF please!!!!!!

Tiba
 
inamilikiwa na hawa wahindi wenye Africa Hotel
 
Wewe unayeuliza anayemiliki so what? kwa magazeti ya mengi yasipotajwa what is a deal?? (magazeti ya mengi yana umuhimu kwako kanunue) kwa chanel 10 siyo muhimu???
Utawajua walionunuliwa na watu mlima mrefu.

samahani kama nimekuudhi ndugu kwa kuuliza kwangu,lakini ilikuwa sio lazima kwa wewe kujibu hayo uliyoyajibu
 
samahani kama nimekuudhi ndugu kwa kuuliza kwangu,lakini ilikuwa sio lazima kwa wewe kujibu hayo uliyoyajibu
Huwezi kuniudhi mimi kwakuwa mimi si mmiliki wa channel 10, vilevile huwezi kunipangia namna ya kujibu kwasababu niko huru ku-question credibility ya swali lako...limekaa kama magazeti ya mengi are so important to US than magazeti mengine? ndio maana nakuhoji una interest gani na mengi??? who is he???
 

Kwa kuongezea tu serkali ya Mkapa ilimpa uraia Muititaliano Tramontano mwezi uleule aliyomnyang'anya Jenerali Ulimwengu uraia. Hii ni pamoja na mmafia huyo kuiba hela za msaada zilizokuwa zikija Tanzania.
 
Tumaini hapo umefulia...swali linaenda na jibu si vinginevyo
 
Huwezi kuniudhi mimi kwakuwa mimi si mmiliki wa channel 10, ....
Sasa kama wewe si mmiliki, jazba za nini? Mbona swali linaeleweka tuu?
 
Last edited:
Huyu mshikaji Tumaini ana matatizo gani? Kwa nini usikae kimya kama huna jibu? Tafadhali jiheshimu na heshimu wana JF na omba radhi.Mmiliki ni Rostam na inasemekana alinunua vyombo vya habari baada ya saga la richmond ili kutumia vyombo hivyo kujisafisha yeye na Lowasa.
 


I LIKE THIS
Unajua mtu ukiwa BIASED ni sawa na KIPOFU wa FIKRA




kwa mara ya KWANZA nakuunga mkono mzee wa JIHAD.....
 
Katika taarifa za habari ambazo nikizikosa huwa nasikitika ni za C10. Vipindi vyao vya mahojiano ni vizuri mno, wamiliki hawajinadi sana kwenye channel hii. Mnakumbuka walivyotangaza matokeo ya KWELI ya URAIS wa Zanzibar 1995?
 
si magazeti ya kampuni zake tu yanayokosa nafasi katika channel 10, hata habari kuhusu Mengi ni marufuku kuonyeshwa tangu akina tanil wamiliki kituo hicho...
 
Katika taarifa za habari ambazo nikizikosa huwa nasikitika ni za C10. Vipindi vyao vya mahojiano ni vizuri mno, wamiliki hawajinadi sana kwenye channel hii. Mnakumbuka walivyotangaza matokeo ya KWELI ya URAIS wa Zanzibar 1995?

ungejua kama mwandishi wa stori ile ni CUF asilia usingesema hayo..na kama matokeo yalikuwa ya kweli basi Rais asingekuwa huyu wa sasa.
 
ungejua kama mwandishi wa stori ile ni CUF asilia usingesema hayo..na kama matokeo yalikuwa ya kweli basi Rais asingekuwa huyu wa sasa.
Tangu mwaka 1995 matokeo ya uchaguzi wa URAIS Zanzibar hayajawahi kuwa ya kweli. Tusiipotoshe mada hii. Zipo mada nyingi zilizolizungumzia suala hili. Mzee Mengi anaoneshwa sana C10 hasa kwenye shughuli za CTI, wagonjwa mioyo kwenda India,.....ambako anashirikiana na wahindi wengi tu wakiwemo hao wa C10.
 
si magazeti ya kampuni zake tu yanayokosa nafasi katika channel 10, hata habari kuhusu Mengi ni marufuku kuonyeshwa tangu akina tanil wamiliki kituo hicho...

Sakina Dotoo alisema, Waziri wa habri akanukuu
"wamiliki wa vyombo vya habari ndio kikwazo cha uhuru wa vyombo vya habari"

Awe MENGI, RA whatever wote WACHAFUZI wa uhuru wa vyombo vya habari.
 


Mimi nilikuwa banned kwa muda hapa JF kwa kile kilichoitwa lugha isiyofaa kwa mmoja wa members, naye si mwingine bali TUMAIN. Nilikerwa na posts zake za ajabu ajabu. Sasa sirudii tena naogopa kuwa banned tena. Ila nimefurahi na wenzangu pia mmeona dosari kwa mtu huyu
 
Katika taarifa za habari ambazo nikizikosa huwa nasikitika ni za C10. Vipindi vyao vya mahojiano ni vizuri mno, wamiliki hawajinadi sana kwenye channel hii. Mnakumbuka walivyotangaza matokeo ya KWELI ya URAIS wa Zanzibar 1995?

Mwaka 1995 haikuwepo Channel 10. Nadhani unamaananisha DTV. Soma post No 17 ya thread hii, mwana JF kalieleza suala hili vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…