Uchaguzi 2020 Nani ni nani jimbo la Same Magharibi 2020

Uchaguzi 2020 Nani ni nani jimbo la Same Magharibi 2020

same yetu

Member
Joined
Nov 6, 2018
Posts
38
Reaction score
30
Wakuu habari za wakati huu,

Wakazi wa wilaya ya Same wanafukuto chin ikwa chini hapo mwaka 2020 ili waweze kupata kiongozi bora kama mbunge wao wa kuwaletea hamasa na mbinu za kimedani za kupata maendeleo.

Nyepesi nyepesi kuna baadhi ya watu wanaotajwa kutaka kuwa wabunge kupitia jimbo hilo kwa upinzani na chama dola.

Mate ya nini, wino upo. Majaliwa ya muumba itafahamika ifikapo 2020. Kwa sasa wazee wanazidi kutafakari.

Kutoka
Changoko-SAME
CCM Kindakindaki
 
yule mbunge wa chadema jimbo hilo mbona hasikiki kabisa yuko wapi, anaitwa Naghenjwa nadhani...hana amsha amsha kabisa jimbo litarudi ccm hilo alafu muanze kulialia kura zimeibwa.
 
yule mbunge wa chadema jimbo hilo mbona hasikiki kabisa yuko wapi, anaitwa Naghenjwa nadhani...hana amsha amsha kabisa jimbo litarudi ccm hilo alafu muanze kulialia kura zimeibwa.
Yule yupo jimbo la same mashariki. Jimbo hili yupo Mathayo David
 
Back
Top Bottom