SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kinje ndo mimi binafsi namjua,ila huyo Kunje ngoja kama kuna wadau wanaomjua.
Sikujua, hayo. na kama wenyewe hawajasurutishwa na haya basi, wacha nikapate Chanjo yangu,.Mtoto wake na hayati Kingunge.
Ni mwanaharakati wa chama cha
bofya juu
Kabisa,hanaga shida na mtuSio Kinje huyu , Kinje mtu poa sio muongeaji kwanza. Kinje ni huyu mwenye miwani
View attachment 1894754
Heee mbona huyu siyo Kunje Ngumbale? kwa hiyo kuna Kunje Ngumbale Mwiru na Kinje Kitile Ngombale Mwiru mimi sasa nime changanyikiwa ndio maana nikaomba ufafanuzi kutoka kikaangoni kwenyewe, yaani MWANAHALISI TV lakini inawezekana wako bize au hawapitagi humu ehhhSio Kinje huyu , Kinje mtu poa sio muongeaji kwanza. Kinje ni huyu mwenye miwani
View attachment 1894754
Tusubiri jibu. Ila uwezekano kwamba kuna mtu anaitwa Kunje Ngumbale Mwiru na mwingine Kinje Kitile Ngombale Mwiru ni mdogo sana!! Haya ni majina nadra sana.Tuseme tu ni makosa na kiuandishi.Heee mbona huyu siyo Kunje Ngumbale? kwa hiyo kuna Kunje Ngumbale Mwiru na Kinje Kitile Ngombale Mwiru mimi sasa nime changanyikiwa ndio maana nikaomba ufafanuzi kutoka kikaangoni kwenyewe, yaani MWANAHALISI TV lakini inawezekana wako bize au hawapitagi humu ehhh
Huyu sio Kinjeketile Ngombale Mwiru mtoto wa pekee wa mzee Ngombale Mwiru. Huyu labda wamefanana majina au mtoto asiefahamika na familia.
bofya juu
Kuna Vita huku ya kina GwajimaKinje ndo mimi binafsi namjua,ila huyo Kunje ngoja kama kuna wadau wanaomjua.