nakataa mimi si mzinifu. sijawahi kuwa ndani ya ndoa. nawalaumu madame walifanya hesabu vibaya ikatokea nikakubaliNikisema wewe MZINIFU kwa ushahidi uliotoa wa kuwa na watoto wanne wa nje ya ndoa utakataa? Mzinifu humuoa mzinifu mwenzie hivyo inabidi umtafute mzinifu mwenzako umuoe.
unamjua mmoja? mwambia kuna chance pahali ilimradi tu awe na reception nzuri, boot iwe sawa na tabia nzuri tayari kusettle
bwahahahadigital multimeter
namjua wa ivyo km uko siriaz useme nikurunganishe naeunamjua mmoja? mwambia kuna chance pahali ilimradi tu awe na reception nzuri, boot iwe sawa na tabia nzuri tayari kusettle
hamna shaka ndugu we ni click kwa PM. mambo ya tajiseti. am damn seriousnamjua wa ivyo km uko siriaz useme nikurunganishe nae
Mkuu sasa mbona unajichanganya, kwanini uliwaendea wote wawili? Sasa sisi tutakusaidia nini maana hakuna mapungufu yoyote uliyoyataja kwa hao wazazi wenzako. Kama vp oa wote kama imani inakuruhusu.
nimejaribu sana. hata huku ughaibuni niliko kila mrembo nikimweleza haya urafiki unaishia hapo
ahahahahahahahah...uuuuuiiuuuiii...hiki kicheko sasa mtu wangu. if the woman is a widow then it is a different case. sio mwanamke ambaye najua kabisa baba watoto yupo halafu mimi niishi na hao under one roof. no thats out of question. wacha nikae bila mke kama hiyo ndo itakua suluhisho ya maishaduuu pole wee. sasa kama hao wawili hawataki akiolewa ulete wa nje basi tafuta mwenye alie na mtoto wa mwanaume mwingine then mwanze yenu.. iwe watoto wako na wake kisha muongeze wenu.....
oooh ma good lord hapa sijui ndo itakua ile ya " darling your children and my children are fighting with our child....."
any can do
ahahahahahahahah...uuuuuiiuuuiii...hiki kicheko sasa mtu wangu. if the woman is a widow then it is a different case. sio mwanamke ambaye najua kabisa baba watoto yupo halafu mimi niishi na hao under one roof. no thats out of question. wacha nikae bila mke kama hiyo ndo itakua suluhisho ya maisha
hahahahahahaha!!!!!!!Fanya ana ana ana dooo kachanika basto..............
mkuki kwa nguruwe lol. sasa ndo hivo hata mwanamke hataki kuishi na mtoto ambae anajua kabsaaaaaaaaaaaa kua mamake yupo.
kakuambia nazaa hovyo nani? mbona wewe waleta kashafa sasa?du kweli wazaa hovyo jiangalie usione sifa