Sijawahi Kuvisoma Hivo VituMkuu mimi nimemnukuu kutoka kwenye story yake ya "True memories of my life" alisema kasoma uuguzi
Kuna tamasha jingine la "street university" alisemaga ni darasa la saba mkuu
Nimependa Umejibu Kisomi!Ibrahim ayo balogun ( wiz kid )
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini nigeria, anayefahamika kwa jina la kisanii kama wiz kid au wiz kidayo, ni moja kati ya wasanii afrika ambao wananivutia sana katika mambo yake anayofanya kwanza,
* si msanii wa kujigamba.
* ni msanii mwenye nidhamu na heshima kwa rika lote.
* ni msanii mwenye kila aina ya sifa ya kuitwa msanii bora wa afrika.
* anajua kusaka pesa kupitia fani yake ya usanii.
Quavous Marshall huncho ( Quavo huncho )
Huyu ni moja kati ya vijana mahiri kuwahi kung'aa katika fani yake ya muziki aina ya hip hop nchini marekani, jitihada zake na maarifa ndicho kilicho nivutia kwake.
Henry Williams ( bill gates )
Billgates ni jina ambalo si halisi na wala si geni kwa mfanyabiashara nchini marekani, billgates naweza kusema ni moja kati ya wafanya biashara wenye kunivutia zaidi katika kazi zao bidii na maarifa.
Saeed saleem bakhresa ( Azam )
Moja kati ya wafanya biashara afrika ya mashariki na afrika kwa ujumla huyu mfanyabiashara amenivutia kwa bidhaa zake anazo fanya utayarishaji / packing process, nimevutiwa kwa baadhi ya bidhaa zake ni mbunifu wa aina yake.
Freeman Aikael mbowe
Mbowe ni moja kati ya wanasiasa kutoka Tanzania ambao wamenihamasisha na kunipa morali ya mimi kuipenda siasa na nimejiapiza moyoni lazima nifanye siasa kwa siku za usoni.
JPMWa Awamu Gani?
ndio ndio..John Paul Mbatizaji?
Kuna yule jamaa anaigiza kwenye igizo la jambo na vijambo la EATV naye anaongeaga km yesu ebu jaribu kua una mcheki atakuvutia pia hahahaaaYesu Kristo,
Yale majibu yake na mifano dhahiri imenifanya ñitamani kuwa kama yeye
Pamoja na Mimi.Mwl. Christopher Mwakasege
Viva Lissu And Get Well Soon.EL-Mtukane uwezavyo hatokaa akujibu kwamwe,yeye ni kimya tu hana maneno mengi,kama unahisi wewe ni adui yake namba moja usishangae siku utakapokutana naye mkakaa meza moja mkala mkacheka na kufurahi wala asikuulize chcht.Huyo ndiyo Lowassa.
Alikiba-huwa anaishi maisha yake ambayo anaamini yeye kuwa tupo comfortable,hataki maisha binafsi kuwa publically,kama ni umaarufu anataka kazi zake ndiyo ziwe maarufu zaidi kuliko hata yeye mwenyewe,hana presha na wala huwa hakubali kbs kupangiwa na mtu nini na lini afanye nini.Navutiwa na maisha hayo.
TL-anajiamini sana kila anachokitamka huwa anajua hakiwezi kumletea madhara popote,anaongea chochote,popote bila kuvunja kanuni na taratibu za nchi,anaamini kujua sheria barabara humuweka mtu huru,hrf ana uwezo wa kufanya mambo mengi kwa muda mmoja,anaweza akawa ana kesi ya kujibu na bado akawatetea wateja wake na baadaye akahudhuria kikao mhimu mkoa mwingine kwa siku hiyohiyo.Get well soon.
Ntakua nae mbinguni.Unaye Wapi Mbinguni Au Kuzimu?