Nani Role model Wako?

kuwa mtu husiyejulikana ww huwez kijana maana unahuruma pia upend watu waonewe kwhy baki kuwa known
 
D.C wa dar na mh magu
 
Baba na mama na baba wadogo, mama wadogo wote Mungu awalaze pema peponi bila wao ukoo usingesimama. Mizizi kwanza ndo matawi. Mtaangaika na mambo ya nchi lakini kama ukoo na familia mnayumba hakuna kitu. Ukoo wangu pande zote mbili GADO. Wa baba mndogo utafikiri tumetoka tumbo moja, wa mama wadogo utafikiri mama yetu mmoja na hata tuna vikao vya ukoo. Big up our clan. Haya ya siasa watajiju.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji122] [emoji122]
 
Mimi napenda sana waropokaji wenye akili kisoda .
Juma pondamali mlevi
Ndugai
Shigela
Lemutuz
Bashite
Wasiojulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…