Nani tushilikiane kilimo cha nyanya Ana hybreed?

Nani tushilikiane kilimo cha nyanya Ana hybreed?

Joined
Nov 10, 2013
Posts
23
Reaction score
3
-Nina bonde ekari 1
-waterpumb mm 250 -Ardhi yenye rutuba,maji ya uhakika eneo lina ulinz wa uhakika.
-Eneo lipo jiran na barabara kuu(DAR-DOM)
Nahitaji mtu atakayenisaport mbegu,gharama za kutifulia,kusia mbegu na kupanda.
Shamba lipo dom kongwa vijijin.
Nahitaji mtu commited ambaye Tutafikia malengo.
Nawasilisha kwenu wadau.
 
-Nina bonde ekari 1
-waterpumb mm 250 -Ardhi yenye rutuba,maji ya uhakika eneo lina ulinz wa uhakika.
-Eneo lipo jiran na barabara kuu(DAR-DOM)
Nahitaji mtu atakayenisaport mbegu,gharama za kutifulia,kusia mbegu na kupanda.
Shamba lipo dom kongwa vijijin.
Nahitaji mtu commited ambaye Tutafikia malengo.
Nawasilisha kwenu wadau.

Nipm number aisee
 
Nipo tayari kuwekewa ila naitaji angalau ekari 5. Napatikana 0767102102
 
Back
Top Bottom