azikala ngulukizi
Senior Member
- Mar 23, 2016
- 190
- 124
Mama hapo ni kila kitu na ni zaid ya vyote then baba atafuatia kwambaali na vingine vilivyo baki vyote hapo vina replacement na alternatives.Mmeo/mkeo /mama yako /baba yako/ watoto wako / toa yaliyo moyon
Kama huna mtoto utawapenda wazazi kuliko mwingine yeyote yule baada ya kupata watoto utawapenda kuliko wazazi, ila vijana wanawapenda wapenzi wao kuliko mwingine yeyote yule
Mmmh! Mi nakupenda wewe azikala ngulukizi hili jina ulipewa na babu ?!!
sasa hapa hi thread ina beba neno TETESI ki vipi????😕😕
BoD January 1 1970 na post zake ...! Sijui hii tarehe ina niniMmeo/mkeo /mama yako /baba yako/ watoto wako / toa yaliyo moyon
Ok lakini nadhani basi haina maana kuweka kama hutaki ijulikane kama wengine kuliko kudanganyaKaka huo ni mwaka tu mbona nyinyi hamjaweka miaka yenu hebu angalia hiyo sura ya mwaka 70
Thread nyingine za kushangaza sana! Huwezi kufananisha ama kutofautisha vitu visivyo na uhusiano wa kufananishwa hata kidogo. huwezi kufananisha wazazi wako na ama watoto wako au mkeo kwa sababu wewe hukuchagua kuzaliwa na hao wazazi, ulijikuta tu umezaliwa nao na kwa jinsi hiyo huna budi kuwapenda kama wazazi wako. hata ikitokea huwapendi, huwezi kufuta uhusiano wa mtoto na wazazi wake.Ukikaa na kukumbuka watoto ulio watupa kwenye eg, kondoms,chooni,mimba zilizo tolewa au haribika au watoto walio fariki kwa chochote iwe ugonjwa ama ajali, lakini ukapata watoto wengine na wakawa wakwako pia, lakini ukukumbuka wapenzi uliokuwa nao ukawaacha mme au mmke uliye oa au olewa nae mkaachana kwa idadi yeyote ile na mara nyingi uwezavyo lakini kwa sasa una ama mke au mme mwingine na ni wakwako ,sasa ushawahi kuachana na mama au baba halafu ukampata mwingine na akawa wakwako??
Kama huna mtoto utawapenda wazazi kuliko mwingine yeyote yule baada ya kupata watoto utawapenda kuliko wazazi, ila vijana wanawapenda wapenzi wao kuliko mwingine yeyote yule
mamy kuna jr & orginal humuNampenda mshana