Nani wa kuwajibika juu ya kuzidi kwa idadi ya wachezaji uwanjani Yanga vs Mbeya City

Mechi imeshaisha hiyo, wajipange kwa ajili ya tarehe 29, ikiwezekana watafute visingizio kabisa vya kuwadanganya misukule yao.
 
nawaza tu siku hiyo tar 29 Simba watakuwa 22 uwanjani....
huku wakicheza 352

teh! teh! lakini mtani si tulishakubaliana hakuna points za kwenye meza?
 
!
!
Nani Huruhusu Mchezaji Kutoka Na Nani Huruhusu Mchezaji Kuingia? Nani ni Mtunza Kumbukumbu..... Chirwa Kacheza Rafu ya Red Card Kaachiwa Tu Kirahisi
Siyo hoja. Hapa tunaangalia sheria inasemaje kwa tukio la kuzidi wachezaji. Udaky wako anzishia thread
 
ukifatilia video kweli wako 11, sijui sheria zinasemaje hapo
 
Duuh Sijawahi kusikia au kuona hicho kilichofanywa na Mbeya city kuchezesha wachezaji 11
La msingi ziangaliwe sheria za FIFA zinasemaje kwenye tukio kama linapofanyika
 
Kwa hio sasa hivi yanga nao wanataka poit za mezani!!! Kwel maji yamezidi unga
 
Wengine wanasema mchezaji aliyetolewa kwa kadi nyekundu alirudi kinyemela uwanjani.
Wakupongezwa na Mbea City kwa kuweza kufanikisha hii mbinu ya ushindi.
Mwisho wapata matokeo waliyoyatarajia.
Hiyo sio mbinu.. kama ni ukweli huo ni ujinga kwanzia kwa kamisaa.. refa wa kati... benchi la mbeya city na refa wa pembeni ambae yeye ndio ananyanyua kibendera kuashiria sub. wote wawajibishwe.

[HASHTAG]#MWAKA[/HASHTAG] WETU
 
Yanga mlipopigwa kitu mlipotea humu,nsajigwa kawazuga mmerudi tena nyeeee nyeeee nyeeee

Nsajigwa mwenyewe anasema hana hakika labda ni tempa ya mpira. Nyie yanga vipi hamuoni fahari kufungwa na Ronaldo?
WABONGO BHANA!!.

Ukistaajabu ya Iddi Nado.. utayaona ya Salamba.
 
Yanga acheni hizo blabla zenu,mnataka kutuambia kuwa soka lilikuwa linachezwa gizani,mchezaji asiyetakiwa au kuzidi refa asione kamisaa asione,wachezaji wa yanga wasione,bench la ufundi la yanga wasione,mashabiki lukuki wa yanga waliokuwepo uwanjani wasione hadi mpira uishe ndo muanze kulalamika!,je matokeo yangekuwa mazuri kwenu mngelalamika?kwanza jana mlipebwa basi tu hamna shukurani.
 


Huu Ni Upimbi Wa Wazi Kabisa! Huyu Namba 8 Ni Yule Namba 6 baada Ya Kukimbia Na Kufika Kati Ndiyo Akabandikwa Namba 8.

Hebu Mwangalie Movement Yake Hapo Alipo Katika Picha Ya Juu Mstari Wa Kati Unaonekana na Hapana Mtu!

Lakini Picha Ya Chini Kwenye Mstari Wa Kati Pana Mtu! Katokea Wapi?

inaonesha Wazi Kuwa Hiyo movement Yake anakimbia Kutokea Nyuma ambako Mulimuamdika Namba 6 baadae Yeye Yeye Mukamuandika Namba 8.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…