Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
No doubt utapata tu.., hata wale wanaokatisha tamaa wewe wapuuzie na concentrate na wale walio serious, all I have seen above is positive, cha maana ni kupata mtu hapa mka-brake the ice, na mkiendana in real world the sky the limit..,
You never know you can find precious things in unexpected places
bibie cv yako bdo hujamalizia na mbna hujasema cv ya umtakaye?
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.
Natafuta rafiki wa kike ambaye nitampenda na kumjali, kubadilishana mawazo, company na kusaidiana katika mambo ya maisha.
Sifa zake:
- Awe na Umri usiopita miaka 40
- Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili
- Awe na tabia njema na asiwe na tamaa
- Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini
- Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD
- Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka
- Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana
Sifa zangu:
- Umri wangu miaka kati ya 45-50
- Elimu yangu: Shahada ya Uzamili
- Kazi: Nimeajiriwa na Kujiajiri
- Sina mke
- Nina watoto wawili
Ambaye yuko seriously tuwasiliane kwa PM au barua pepe gentleman.waukweli@gmail.com
PM na barua pepe zote zitajibiwa 24X7 kwa walio seriously
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.
Kaka CG hujampata tuu? mmmmh pole sana aisee. wewe tatizo lako unachagua sana, utapata koroma HAAHAHAAANami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:
Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo: