nani wa kuwanae kimaisha jamani

Bi nyakomba

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
385
Reaction score
104
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.
 
bi nyakomba, Mungu akutangulie katika hitaji lako, kuna wakaka humu walioenda age. Utapata wako kwa uweza wa Mungu.
 
No doubt utapata tu.., hata wale wanaokatisha tamaa wewe wapuuzie na concentrate na wale walio serious, all I have seen above is positive, cha maana ni kupata mtu hapa mka-brake the ice, na mkiendana in real world the sky the limit..,

You never know you can find precious things in unexpected places
 

Thanx for ur advc
 
jamani no body is interested with bi nyakomba. OMG
 
Jamaa akiwa anakuja kumcheki mtoto nitakua nawapisha au utakuwa unaenda kwake kumpeleka mtoto?
 
tutampa ristriction brother J.mmmmmh jokes zimeanza
 
bibie cv yako bdo hujamalizia na mbna hujasema cv ya umtakaye?
 
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

 
Mtu makini mwenye akili timamu na fikra pevu hawezi kuleta utani katika kitu cha maana, jamani kwa ambaye hayoku tayari kuliko kuanza kuandika utani na kwenda nje ya mada mngenyamaza,mwenzenu anashida hivyo anataka aliyeko tayari wawasiliane.
Kama huna vigezo mpotezee
 
Bi nyakomba hivi ulishapata lol. Give us feedback pls
 
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.

ni pm 2wasiliane kwa kina. kwani nahitaji sana m2 kama wewe
 
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale wanaopenda kukatisha tamaa na kupondea. Jipitie tu.

dah ninao wawili
 
Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

Dah! Kweli kupata mchumba ni shughuli nzito.. Kaka nilidhani utakuwa umeshampata maana kitambo sana.. Wish nijitose ila mie kwa umri ulioweka mie ni KITOTO..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…