nani wa kuwanae kimaisha jamani

Dah! Kweli kupata mchumba ni shughuli nzito.. Kaka nilidhani utakuwa umeshampata maana kitambo sana.. Wish nijitose ila mie kwa umri ulioweka mie ni KITOTO..

lol ng'ombe hazeeki maini. Karibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…