Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Awali, Tanzania na Malawi walikubaliana kutatua mgogoro huu kwa kutumia njia ya mazungumzo ya pande mbili ambapo walikubaliana kutafuta washuluhishi wanaokubalika na Pande zote mbili. Wasuluhishi waliokuwa wamekubalika kwamba wasaidie kwenye kutatua mgogoro huu walikuwa ni marais wastahafu wa Nchi za SADC wakiongozwa na Rais wa zamani wa Msumbiji; Ndugu Joachim Chissano.Licha ya kuwa uamuzi huu ulikuwa ni mzuri kwa kuwa mazungumzo ndio njia bora kabisa ya utatuzi wa migogoro, Malawi iliripotiwa na baadhi ya wachambuzi wa mambo kutoridhishwa na njia hii na kukubali kwa shingo upande.Sasa jambo la kusikitisha ni kwamba Rais wa Malawi Bi. Joyce Banda ameamua kujitoa kwenye mazungumzo maskini!
My take;
Binafsi napata mashaka kwamba kuna watu wako nyuma ya mgogoro huu na lengo lao kuu ni kuhakikisha wanafanya kila wawezalo kuhakikisha usuluhishi wa kidiplomasia haufui dafu.Pengine lengo lao ni kupata tenda ya kuuza silaha na viungo vya bandia. Hata hivyo nikijaribu kutafiti nashindwa kujua ni nani hasa lakini haiingii akilini usuluhishi kukwama kwama namna hii bila sababu za msingi.Sijui ninyi wenzangu mnaona je?
"Malawi turns to courts over Tanzania dispute"
Wednesday, 03 April 2013 00:00
"LILONGWE. President Joyce Banda has said that Malawi was giving up on mediation efforts and would take to the courts to settle a long-dormant border dispute with Tanzania, which has been re-activated by prospects of an oil find.
Our view is that we should eventually go to court. We should not waste time on this (mediation), Banda told reporters in Lilongwe on Monday after returning from visits to the US and Britain.
She said the mediation bid left to Mozambiques ex-president Joaquim Chissano in his capacity as ahead of a forum of retired leaders from the regional bloc Sadc, was compromised because information submitted by Malawi was leaked to Tanzania.
She accused the executive secretary of the forum, John Tesha, a Tanzanian national, for leaking some vital information to his home country.
After surrendering our documents, we were told that they were leaked to Tanzania before the Tanzanians surrendered theirs, Banda said.
We feel everything is compromised, she said. In December Banda said the dispute had dragged for too long and she was considering taking it to the International Court of Justice for arbitration.
At stake is a largely undeveloped swathe of the lake where Malawi has awarded a licence to British firm Surestream to explore for oil in the north-eastern waters near Tanzania.
Malawi claims ownership of the entire lake under an 1890 agreement, while Tanzania disputes this validity, insisting part of the lake falls within its borders.
Talks in the past ended in a deadlock"
Wameripoti "Pan-African News wire" jana.
Alipokuwa akihojiwa na BBC jana, Msemaji wa Tanzania alisema Licha ya kwamba wamesikitishwa na taarifa hiyo, ni jambo wallilokuwa wanalitegemea kwa kuwa Malawi walionekana kupinga njia ya mazungumzo kama njia bora ya usuluhishi.Hata hivyo alisema Malawi haina uwezo wa kuishitaki Tanzania kwenye mahakama ya Kimataifa, bali Tanzania ndio wenye uwezo wa kufanya hivyo kwa kuwa kuna vigezo ambavyo Malawi hawajatimiza kwenye mahakama hiyo.Wednesday, 03 April 2013 00:00
"LILONGWE. President Joyce Banda has said that Malawi was giving up on mediation efforts and would take to the courts to settle a long-dormant border dispute with Tanzania, which has been re-activated by prospects of an oil find.
Our view is that we should eventually go to court. We should not waste time on this (mediation), Banda told reporters in Lilongwe on Monday after returning from visits to the US and Britain.
She said the mediation bid left to Mozambiques ex-president Joaquim Chissano in his capacity as ahead of a forum of retired leaders from the regional bloc Sadc, was compromised because information submitted by Malawi was leaked to Tanzania.
She accused the executive secretary of the forum, John Tesha, a Tanzanian national, for leaking some vital information to his home country.
After surrendering our documents, we were told that they were leaked to Tanzania before the Tanzanians surrendered theirs, Banda said.
We feel everything is compromised, she said. In December Banda said the dispute had dragged for too long and she was considering taking it to the International Court of Justice for arbitration.
At stake is a largely undeveloped swathe of the lake where Malawi has awarded a licence to British firm Surestream to explore for oil in the north-eastern waters near Tanzania.
Malawi claims ownership of the entire lake under an 1890 agreement, while Tanzania disputes this validity, insisting part of the lake falls within its borders.
Talks in the past ended in a deadlock"
Wameripoti "Pan-African News wire" jana.
My take;
Binafsi napata mashaka kwamba kuna watu wako nyuma ya mgogoro huu na lengo lao kuu ni kuhakikisha wanafanya kila wawezalo kuhakikisha usuluhishi wa kidiplomasia haufui dafu.Pengine lengo lao ni kupata tenda ya kuuza silaha na viungo vya bandia. Hata hivyo nikijaribu kutafiti nashindwa kujua ni nani hasa lakini haiingii akilini usuluhishi kukwama kwama namna hii bila sababu za msingi.Sijui ninyi wenzangu mnaona je?