Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Mtendeni Dodoma hapa nambie wapi twen zetu
Nipo hapa Pyongyang twenzetu
Nipo bigwa kwa masister Kama unaelekea mwanzo mgumu morogoro.
Ila unajua huku kama kwa bob maleNaogopa makombora ya nyuklia huko utanikuta Seoul N.korea
Nipo hapa Tanga Pazuri. Nasubiria Baikoko ianze ili niwamwagiie mijihela watoto wote wazuri watakao cheza vizuri hiyo baikoko. Karibuni.
Msambu ni wapi mkuuTukutane msambu
Itakuwa Dom hiyo😄😄Msambu ni wapi mkuu
Mkuu tuliopo jiji la Chattle tunakutana wapi?
Nipo hapa Madadii Cheka Ung'atwe napiga Nax njoo tulewe.