Nani yuko nyuma kuhakikisha Taifa star inafunga the crane je ni uchawi, kipaji, nguvu ya pesa au washangiliaji kuwapa moyo

Alikaeli

Senior Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
169
Reaction score
194
Hapa kuna mambo mengi sana yameingizwa humu, kuna zawadi, kuna watu wana wasupport wafunge na kuna vipaji.

Siku ya leo ndio tutapata jibu sahihi ya kitakachotokea leo, ile nguvu ya uchawi tunayoitumia na tuliwahi kuitumia kuwasaidia ma boss wetu wawe imara na wasiweze kutuachisha kazi hata kama tuna mapungufu mengi na makosa ndio nguvu ile ile tutajua leo kama kweli inaweza ikatufanikishia mpira wetu, kama haviendani na mpira basi tutapata jibu.

Unaweza ukajitokeza hadharani kuninyesha kui sapoti timu yetu kumbe ulisha piga lamli na umehamasisha nguvu za ziada kuhakikisha kuna ushindi. muda utasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…