kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,742
Ndugu wana JF tumeshuhudia matukio ya Umwagiwaji wa Tindikali kwa watanzania wenzetu na sasa imevuka mipaka hadi kwa raia wa Kigeni. Tukiorodhesha matukio ni mengi miongoni mwa matukio ni kama haya yafuatayo
1. SAID KUBENEA (2008) – Tanzania Bara

SMS Zifuatazo alitumiwa Kubenea kabla ya kukutwa na unyama ule.
Kubenea, news editor with Kiswahili weeklies, Mwana Halisi and Mseto has come out fearlessly last year to expose scandals, office abuse and allegations of embezzlement of public funds involving big shots within and outside the government.
He vowed, however, at his bed not to give up with investigative journalism that has increasingly put his life in jeopardy in recent months.
The writer has received at least 15 text messages from unknown persons from June last year threatening to terminate his life shouldn't he stop following up their life.
"Your death will be of its kind that your body will never be found," one of the SMS he received read.
Another reads:" Take your last breath. We are not far from you. Few hours are left before we send you where you deserve."
"Watch out we are not joking on this. We want your death to be a threat even to mabwana zako.
Tumeona SMS hizo lakini hakuna aliyekamatwa
2. Mkurugenzi wa Manispaa Zanzibar (Rahid Ally Juma) 2011 - Zanzibar
3. Musa Tesha – Igunga 2011 – Tanzania Bara
4. Shehk fadhir Suleiman – Zanzibar – Nov. 2012 - Zanzibar
5. Mohamed Kidevu – Sheha wa Tomondo Zanzibar – May 2013 - Zanzibar

6. Said Makamba – Shehk Wilaya ya Arumeru – July 2013 – Tanzania Bara

7. Said Mohamed Saad Mmiliki wa Home Shopping center – Tanzania Bara
Lengo halisi la kuandika haya ni kutokana na tukio la jana lililosababisha Shehk Ponda kupigwa risasi kwani vyombo vya kimataifa vililiingiza tukio lile kwamba shehk ponda amepigwa risasi na kukamatwa na polisi kwa sababu ya kuhusika kwake katika kumwagiwa Tindikali wale Mabinti wawili wa Uingereza. Nimepata wasiwasi kwani inawezekana kabisa kilichofanyika ni kutaka Serikali kujiosha mbele ya jumuia za kimataifa kwa kuonyesha ni wafuatiliaji wa Karibu na wapo makini kufuatilia uhalifu kwa kumuingiza Shehk Ponda na tukio lile kama walivyozoea kubambikia watu kesi na lengo nafikiri ilikuwa ni kumuua na ili yeye kama yeye ndo asimame kama mtuhumiwa wa sakata lile la tindikali kwa Raia wale na mchezo ndiyo uwe umeishia hapo.
Katika mlolongo wa waliomwagiwa Tindikali kuna mashehk watatu wawili Zanzibar na mmoja Tanzania Bara lakini hatujasikia juhudi zozote za kina zinazoonyesha kutafutwa waliofanya uhalifu huo nah ii kuonyesha udhaifu mkubwa kwa vyombo vyetu vya usalama,
Tukio la Polisi na Serikali kumuingiza Shehk Ponda na tukio lile la kumwagiwa Tindikali wale Mabinti ni kitu kilichopangwa kwani tulimsikia DPP akitamka kuwa tukio lile sio la Ugaidi na bila kutoa ufafanuzi ni tukio la aina gani kwa hiyo jibu lake limepatikana hapo jana KUWA TUKIO LILE NI LA KIDINI na tusipoangali hawa viongozi wetu wanaweza kutuingiza katika mgawanyiko mkubwa wa kidini kutokana na kauli zao na matendo yao ni vizuri wakawa wanatafakari mambo kabla ya kuchukua uamuzi kwanza.
NAWASILISHA.
1. SAID KUBENEA (2008) – Tanzania Bara

SMS Zifuatazo alitumiwa Kubenea kabla ya kukutwa na unyama ule.
Kubenea, news editor with Kiswahili weeklies, Mwana Halisi and Mseto has come out fearlessly last year to expose scandals, office abuse and allegations of embezzlement of public funds involving big shots within and outside the government.
He vowed, however, at his bed not to give up with investigative journalism that has increasingly put his life in jeopardy in recent months.
The writer has received at least 15 text messages from unknown persons from June last year threatening to terminate his life shouldn't he stop following up their life.
"Your death will be of its kind that your body will never be found," one of the SMS he received read.
Another reads:" Take your last breath. We are not far from you. Few hours are left before we send you where you deserve."
"Watch out we are not joking on this. We want your death to be a threat even to mabwana zako.
Tumeona SMS hizo lakini hakuna aliyekamatwa
2. Mkurugenzi wa Manispaa Zanzibar (Rahid Ally Juma) 2011 - Zanzibar
3. Musa Tesha – Igunga 2011 – Tanzania Bara
4. Shehk fadhir Suleiman – Zanzibar – Nov. 2012 - Zanzibar
5. Mohamed Kidevu – Sheha wa Tomondo Zanzibar – May 2013 - Zanzibar

6. Said Makamba – Shehk Wilaya ya Arumeru – July 2013 – Tanzania Bara

7. Said Mohamed Saad Mmiliki wa Home Shopping center – Tanzania Bara
Lengo halisi la kuandika haya ni kutokana na tukio la jana lililosababisha Shehk Ponda kupigwa risasi kwani vyombo vya kimataifa vililiingiza tukio lile kwamba shehk ponda amepigwa risasi na kukamatwa na polisi kwa sababu ya kuhusika kwake katika kumwagiwa Tindikali wale Mabinti wawili wa Uingereza. Nimepata wasiwasi kwani inawezekana kabisa kilichofanyika ni kutaka Serikali kujiosha mbele ya jumuia za kimataifa kwa kuonyesha ni wafuatiliaji wa Karibu na wapo makini kufuatilia uhalifu kwa kumuingiza Shehk Ponda na tukio lile kama walivyozoea kubambikia watu kesi na lengo nafikiri ilikuwa ni kumuua na ili yeye kama yeye ndo asimame kama mtuhumiwa wa sakata lile la tindikali kwa Raia wale na mchezo ndiyo uwe umeishia hapo.
Katika mlolongo wa waliomwagiwa Tindikali kuna mashehk watatu wawili Zanzibar na mmoja Tanzania Bara lakini hatujasikia juhudi zozote za kina zinazoonyesha kutafutwa waliofanya uhalifu huo nah ii kuonyesha udhaifu mkubwa kwa vyombo vyetu vya usalama,
Tukio la Polisi na Serikali kumuingiza Shehk Ponda na tukio lile la kumwagiwa Tindikali wale Mabinti ni kitu kilichopangwa kwani tulimsikia DPP akitamka kuwa tukio lile sio la Ugaidi na bila kutoa ufafanuzi ni tukio la aina gani kwa hiyo jibu lake limepatikana hapo jana KUWA TUKIO LILE NI LA KIDINI na tusipoangali hawa viongozi wetu wanaweza kutuingiza katika mgawanyiko mkubwa wa kidini kutokana na kauli zao na matendo yao ni vizuri wakawa wanatafakari mambo kabla ya kuchukua uamuzi kwanza.
NAWASILISHA.