Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Habari zenu Wakuu,
Kwa Sasa walinda milango Marc-Andre Ter Stegen wa Barcelona na Jan Oblak wa Atletico Madrid wanaonekana kufanya vizuri zaidi kuliko wengine.
Je, kwa mtazamo wako unafikiri ni nani mlinda mlango bora zaidi kwa sasa kati yao?
Kwa Sasa walinda milango Marc-Andre Ter Stegen wa Barcelona na Jan Oblak wa Atletico Madrid wanaonekana kufanya vizuri zaidi kuliko wengine.
Je, kwa mtazamo wako unafikiri ni nani mlinda mlango bora zaidi kwa sasa kati yao?