Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
[emoji23] unazani Barca bado Wana yule mspain?Usimfananishe Oblack na pazia
Habari zenu Wakuu,
Kwa Sasa walinda milango Marc-Andre Ter Stegen wa Barcelona na Jan Oblak wa Atletico Madrid wanaonekana kufanya vizuri zaidi kuliko wengine.
Je, kwa mtazamo wako unafikiri ni nani mlinda mlango bora zaidi kwa sasa kati yao?
Acha kufananisha oblak na vitu vya kijinga wewe huyo ter stegen kazidiwa na wengi sana kina de gea pickford smeichel nk
Sent using Jamii Forums mobile app