lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Sasa huwezi kuwapambanisha coz zari sio mtz but Wema yupo poa kwa nafasi yake na zari kwa nafac yake.......
mshindi alye mzidi mwenzake mabwanawote ni kioo cha jamii ok. so nani mshindi?
mshindi alye mzidi mwenzake mabwana
Ukishatofautisha unalipwa shingapi, acha uswahili kafanye kazi.
wote ni kioo cha jamii ok. so nani mshindi?
Zari mzuri.akifunga mdomo tu akifungua anakuwa ajuza, oh.maaaama, hatarreeeee. Angalia tangazo lake la white party
hebu nisaidie mie
Kwa kuhonga Dai hapo amemkosa labda amhonge dai I swear
Huyu ndiye Zari halisi bila Photoshop akiwa na eX wake
View attachment 201275
Je kwa mtazamo wako wanaendana na Dimond?