Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa... Mkuu una 'hate'!?Wana different swaggs! perfect ana experience Kubwa kwenye media in comparison to Kennedy,ken ameanza 2012 wakati perfect alianza miaka hiyo...Kennedy is the best..nimefanya NAE KAZI mahali..tunafahamiana..hiyo perfect ana nyota ya best naso..anaimba weee lakini hang'ai zaidi ya Ku brag Tu mtandaoni!
He he wala..ukiwa kwenye tasnia fulani lazima mnajuana Kwa vilemba..strength Na weaknesses za kila mmoja..Hahaa... Mkuu una 'hate'!?
hahaha ...niwe mkweli tu "" Kennedy yuko vizuri mnooo" namuelewa kitambo sana " tangu alipokuwa east Africa radio na George Bantu kwenye kipindi cha cruzz""...... sasa pale east Africa kuna shida nyingine yule queen fify na king smash ....sio habari ya nchi hii""...Wana different swaggs! perfect ana experience Kubwa kwenye media in comparison to Kennedy,ken ameanza 2012 wakati perfect alianza miaka hiyo...Kennedy is the best..nimefanya NAE KAZI mahali..tunafahamiana..hiyo perfect ana nyota ya best naso..anaimba weee lakini hang'ai zaidi ya Ku brag Tu mtandaoni!
Ilikuwa balaaa ...nilikuwa sikosi the cruzy Aiseee.. daaah kuondoka kwao kuliniuma mnoo"" but king smash na queen fify walikuja kuwapoteza ile mbaya...sema now days east Africa wameharibu mno kumtoa Queen fify " kwenye the cruzKennedy yupo vzr bana nlianza kumfahamu kuna interview alikuwa anazifanya YouTube nadhani kipindi hicho alikuwa Arusha.
Baadaye ndo akaibukia Ea radio kwny pindi la the cruise wakiwa na george bantu.
Waliitwa wote Kwa mkupuo, Ken,Mamy George Na Seniorita baada ya kua frustrated Kwa muda mrefu Na mutu murefu Nasser kingu, any question??!Mkuu hivi ni clouds walimwita au yeye ndo alienda kuomba??..ukinifafanulia nitashukuru sana