LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Habari wanajamvi la biashara. Mimi na ndugu zangu tumeamua kujikwamua kiuchumi tunatengeneza viatu vya matairi( slippers) sasa Ugumu ni kupata hiyo matairi Mabovu ya magari (Matairi makubwa).. kwa yeyeto mwenye yard au anayefahamiana na Yard zenye malori mengi. ani PM tufanye biashara.