Nanunua Biashara iliyoanzishwa

Nanunua Biashara iliyoanzishwa

KIJANA2013

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
466
Reaction score
201
Ndugu zanguni wana JF
Kwa yeyote mwenye biashara ya mbao na anaiuza, mimi nanunua biashara hiyo na kuiendeleza, naomba nieleweke kwa wana JF kuwa sihitajimbao bali nahitaji biashara hiyo niinunue. Biashara ya mbao ya ukubwa wowote iwe mtu binafsi hadi kampuni. Ikiwa ipo maeneo ya Dar itapewa umuhimu zaidi. Kwa yeyote anayeuza biashara hiyo ani pm please
 
ndugu zanguni wana jf
kwa yeyote mwenye biashara ya mbao na anaiuza, mimi nanunua biashara hiyo na kuiendeleza, naomba nieleweke kwa wana jf kuwa sihitajimbao bali nahitaji biashara hiyo niinunue. Biashara ya mbao ya ukubwa wowote iwe mtu binafsi hadi kampuni. Ikiwa ipo maeneo ya dar itapewa umuhimu zaidi. Kwa yeyote anayeuza biashara hiyo ani pm please

nipigie 0786 294545
 
Back
Top Bottom