Nanunua mafla za gari ndogo, kwa ambao hawazijui, mafla zinakaa kwenye bomba linalotoa moshi wa gari ziko kama kamtungi kadogo ndani zina ungaunga.nazinunua kati ya Tsh.30,000-50,000,kwa kila moja. tafadhali kama unazo wasiliana na mimi kwa namba 0713251003 muda wowote haraka iwezekanavyo. mfano upo kwenye picha iliyoambatana na ujumbe huu download picha.kifaa chenyewe kinaonyeshwa na mshale.kifaa hiki upatikana sana kwa mafundi gereji.