M Mtu Poa 2013 Senior Member Joined Mar 26, 2013 Posts 105 Reaction score 65 Oct 19, 2013 #1 Nanunua mafuta ya kupikia ambayo yameshakaangiwa vitu, mfano chips nk sana sana kama uko Kibaha itakuwa vizuri zaidi. Lita nanunua kwa sh. 500.
Nanunua mafuta ya kupikia ambayo yameshakaangiwa vitu, mfano chips nk sana sana kama uko Kibaha itakuwa vizuri zaidi. Lita nanunua kwa sh. 500.
Kivumah JF-Expert Member Joined Jan 7, 2008 Posts 2,427 Reaction score 1,054 Oct 22, 2013 #2 Kwa udadisi, unayafanyia nini ukishayanunua Mkuu
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Oct 22, 2013 #3 Mtu Poa 2013 said: Nanunua mafuta ya kupikia ambayo yameshakaangiwa vitu, mfano chips nk sana sana kama uko Kibaha itakuwa vizuri zaidi. Lita nanunua kwa sh. 500. Click to expand... Halafu unayapeleka wapi?
Mtu Poa 2013 said: Nanunua mafuta ya kupikia ambayo yameshakaangiwa vitu, mfano chips nk sana sana kama uko Kibaha itakuwa vizuri zaidi. Lita nanunua kwa sh. 500. Click to expand... Halafu unayapeleka wapi?
LEGE JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 5,122 Reaction score 9,209 Oct 22, 2013 #4 mkuu nipe namba yako basi kuna sehem huwa yanamwagwa kila siku kama lita 40 hivi Mtu Poa 2013 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016