proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Nina wale wakufuga mkuu.Wakuu Nanunua Sungura wa porini kwa bei nzuri sana.
Kama ww n muwindaji au unaweza kuwapata nitafute tufanye biashara.
Bei 50000/= mmoja
Nipo Mwanza.
Watu wa dar mtulie haya si mambo yenu
Sungura pori sio nyara acha mambo yako.Nyara ya serekali hiyo. Hv watanzania hamnaga elimu ya uraia!!??
Hawaitwi Sungura, wanaitwa KaluluWakuu Nanunua Sungura wa porini kwa bei nzuri sana.
Kama ww n muwindaji au unaweza kuwapata nitafute tufanye biashara.
Bei 50000/= mmoja
Nipo Mwanza.
Watu wa dar mtulie haya si mambo yenu
Kasome sheria za uhifadhi wa wanyama pori sungura pori yumo kama nyara ya serekali. Exception imepewa jamii inayogegemea uwindajiSungura pori sio nyara acha mambo yako.
Mkuu wengi hatuna elmu ya nyara, hivi mijusi na panya pia ni nyara? Popo, mende, mbayuwayu tunachanganyikiwaNyara ya serekali hiyo. Hv watanzania hamnaga elimu ya uraia!!??
Nenda kwenye majedwali ya sheria husika kuna wanyama wametajwa kama nyara za serekali na wengine hawajatajwaMkuu wengi hatuna elmu ya nyara, hivi mijusi na panya pia ni nyara? Popo, mende, mbayuwayu tunachanganyikiwa
Location tafadhali mkuu 🤔nauwezo wa kukupa sungura pori hao hata wa tano , kila siku napishana nao.
Nina wale wakufuga mkuu.
Mmoja anaenda hadi Kg 3.
Nawauza.
Kwasasa ninao 18 wanaotakiwa kutoka.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wengi hatuna elmu ya nyara, hivi mijusi na panya pia ni nyara? Popo, mende, mbayuwayu tunachanganyikiwa
hare si ndioHawaitwi Sungura, wanaitwa Kalulu
aah watajua wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
mi nitafuga poriNataka. Nianze kufuga
Unauzaje mkuu
Ebu share tujueNenda kwenye majedwali ya sheria husika kuna wanyama wametajwa kama nyara za serekali na wengine hawajatajwa
Sasa wengine wawinde wengine wazuie sheria gan sasa izoKasome sheria za uhifadhi wa wanyama pori sungura pori yumo kama nyara ya serekali. Exception imepewa jamii inayogegemea uwindaji