Nanunua wazo la biashara

David Mgeni

Senior Member
Joined
Aug 4, 2020
Posts
104
Reaction score
138
Habari wana jukwaa hili samahani kwa mwenye wazo lolote la biashara lolote nalinunua tutaingia makubaliano ya kimkakati kwa muda wa miezi kadhaa atalisimamia likileta ufanisi namlipa pesa zake au tunakuwa na ubia pamoja niko serious mambo ya utani hayatakiwi
 
Nipo apa nina bonge la idea ya biashara n PM tuyajenge mkuu
 
Ungeroa na range ya mtaji ingekaa poa....nisije nikakupa wazo la 1Bilion
 
Kiasi gani uko tayari kutoa.

Budget
 

Dm tena unatoka haraka
 
Waooow.....wazo zuri Sanaa ..I hope utafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…