Nanyimwa haki ya kuoa ninayempenda

UKI,uko sawa kabsa huu ndo ukweli wa mambo,wakibosho na wamachame ni mwisho.Natokea pande hzo ila hata mm kama kura ikimwangukia mmachame au mkibosho ntakuwa na ????nyingi.
 
Mh, mh mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh, lisemwalo lipo, nakushauri chunguza kuhusu jambo hl,ni kweli mi pia nimekulian kusoma mikoa ya kanda wanayotoka hawa wadada, kweli baadhi yao wana mapungufu hayo yaliyosemwa na wadau lkinikuna ambao hawako hvyo. Ila zingatia kuwa siku hz mambo yamebadilika sana kwa sabab ya muingiliano wa makabila kwa hyo hata tabia nazo zinaathiriwa na mchanganyiko huo.
 

Thank you very much for your good advice.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…