Mh, mh mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh, lisemwalo lipo, nakushauri chunguza kuhusu jambo hl,ni kweli mi pia nimekulian kusoma mikoa ya kanda wanayotoka hawa wadada, kweli baadhi yao wana mapungufu hayo yaliyosemwa na wadau lkinikuna ambao hawako hvyo. Ila zingatia kuwa siku hz mambo yamebadilika sana kwa sabab ya muingiliano wa makabila kwa hyo hata tabia nazo zinaathiriwa na mchanganyiko huo.