Nanyuki: 320 British troops placed under isolation after 4 tested positive for COVID-19

Nanyuki: 320 British troops placed under isolation after 4 tested positive for COVID-19

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Reports say that a total of 320 British troops in Nanyuki for Exercise Askari Storm have been placed under isolation.

The Mirror reported that the decision was arrived at after four military personnel who arrived in the country last week for training tested positive for the novel coronavirus.

Amid fears that the troops may have brought the new COVID-19 strain into the country, hundreds of local staff including cooks were barred from accessing the barracks forcing more than 1,000 troops to eat rations.

The Sun reported that over 160 military personnel were now living in tents to enforce social distancing at the training site.

“The camp at BATUK has been placed into enhanced isolation in line with the Ministry of Defence’s Force Health Protection (FHP) measures,” the Sun quoted a military source.

Adding: “The British Army takes the health and wellbeing of our personnel and the local communities in Kenya very seriously.

The British Army Training Unit Kenya, known as BATUK is the biggest British base in Africa with an estimated 1,606 people in total.
 
Naona Watanzania mnapata nafuu ya kutaarifu kuhusu corona Kenya, maana kwenu imekua hatari, ukiitaja tu inakua kama uhaini licha ya maambukizi na vifo mnavyokumbana navyo, nimesoma hapa taarifa za mganga mkuu kuvurugwa kisa katoa habari za vifo vya watu 15, soma hii Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

Watanzania mnalo raundi hii, na hadi mtakoma.

gwajima-2-data.jpg
 
Naona Watanzania mnapata nafuu ya kutaarifu kuhusu corona Kenya, maana kwenu imekua hatari, ukiitaja tu inakua kama uhaini licha ya maambukizi na vifo mnavyokumbana navyo, nimesoma hapa taarifa za mganga mkuu kuvurugwa kisa katoa habari za vifo vya watu 15, soma hii Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

Watanzania mnalo raundi hii, na hadi mtakoma.

gwajima-2-data.jpg
Hizo NI hisia tu Daktari aliadhibiwa kwa kutotoa taarifa sehemu husolka a na kutochukua hatua sahihi.
 
Wakenya endeleeni kujipendekeza kwa mabeberu sasa wanawaletea kirusi kipya ili mvisambaze east Africa halafu tukopeshwe madawa
 
Hizo NI hisia tu Daktari aliadhibiwa kwa kutotoa taarifa sehemu husolka a na kutochukua hatua sahihi.

Naona mada za tanzia zimerindima sana kwenu, sijui mpaka mfe wangapi ndio muanze kutumia ubongo na kuacha hicho kiburi cha kijinga, ujamaa ni laana, wananchi wanaswagwa kama makondoo....hakuna hata mmoja anayediriki kujiongeza na kuhoji.
 
Naona mada za tanzia zimerindima sana kwenu, sijui mpaka mfe wangapi ndio muanze kutumia ubongo na kuacha hicho kiburi cha kijinga, ujamaa ni laana, wananchi wanaswagwa kama makondoo....hakuna hata mmoja anayediriki kujiongeza na kuhoji.

Kenya nchi ya kibepari inaogopwa na uviko 19. kenya watu hawafi kabisa, maana watu wanajiachia tu kama nyumbu nyikani, kweli ubepari ni baraka.
🤣 😛 🤣
 
Back
Top Bottom