Naogopa kuendeleza biashara yangu

17n

Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
27
Reaction score
16
Wakuu, Mimi Ni mwajiriwa serikalini mwaka huu nimetimiza miaka mitatu kwenye ajira hiyo, Nimekuwa kila nikipata kiji mshahara kangu nawekeza kwenye biashara Na sasa biashara imeshamiri wasi wasi wangu, Ni kuhusu ajira yangu, haiwezi kuwa hatarini wanasheria nisaidieni hapo!
 
Ni biashara gani? Maana maadam humuibii mwajiri muda wake na huingizi personal interests kwenye ofisi linapokuja suala la manunuzi: Sioni Tatizo
 
Kama biashara ina conflict of interest na kazi yako then unaweza kuwa na wasiwasi. Lakini kama biashara haina uhusiano na kazi yako unaogopa nini?
 
Woga wako ndio umaskin wako mkuu simamia biashara yako vizur
 
Kama inakulipa na unaona una future nayo, choma meli braza, acha woga...

Achana na kazi za wasiwasi, piga chini ajira, piga kazi yako kwa uhuru zaidi
 
Kama inakulipa na unaona una future nayo, choma meli braza, acha woga...

Achana na kazi za wasiwasi, piga chini ajira, piga kazi yako kwa uhuru zaidi
Naona kama post za jinsi hii zimeongezeka zaidi kipind hiki. Security kwenye ajira imepungua au kuna nini..? Wakati wengne wanalalamikia mhe. Rais kusimamisha ajira wengne wanataka kutoka. Kazi kwelkweli..!
 
Real life is very complicated sometimes you have to assume to make life easier
 
Naona kama post za jinsi hii zimeongezeka zaidi kipind hiki. Security kwenye ajira imepungua au kuna nini..? Wakati wengne wanalalamikia mhe. Rais kusimamisha ajira wengne wanataka kutoka. Kazi kwelkweli..!
Waliopo kwenye ajira washapata mtaji wa kufungua biashara zao na pia washajua hasara na changamoto za kuajiriwa,ambao hawajaajiriwa wanachowaza wao ni faida za kuajiriwa tuu plus mshahara na pia hawana mitaji ya biashara.
 
Kama ni biashara halali usiogope na kama hauko tayari kuacha kazi usiache ila ajiri watu wakusaidie kuendesha biashara yako, ila usicheze nao mbali hata kwa siku moja uwe unafuatilia kwenye kila kitu na kuhakikisha hesabu zinakubaliana maana baadhi ya wabongo si waaminifu hawakawii kuanza wizi na kuidhoofisha biashara.

 
Naona kama post za jinsi hii zimeongezeka zaidi kipind hiki. Security kwenye ajira imepungua au kuna nini..? Wakati wengne wanalalamikia mhe. Rais kusimamisha ajira wengne wanataka kutoka. Kazi kwelkweli..!
Hahahaa,aisee hii kweli
Sasa sijui kuna mirija gani imezibwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…