Naogopa kumwambia kuwa nina hamu ya kufanyia mapenzi gesti house

Marytina unazidi kunifanya nisikusahau kwa ubunifu wako....! Kama swala ni gesthouse naomba uni-PM, maana hata mi nimekuwa nikitamani hilo lakini nimekuwa pia nikiandamwa na wasiwasi kumweleza mwenzangu kama wewe.... Hivyo naomba tuwasiliane ili tutimize haja yetu pamoja....! Secrecy must be guaranteed...!

Note: Masharti na vigezo kuzingatiwa...!
 
Aaah bidada! Sasa jamaa yako hatokukubalia, hata ikitokea mnasafiri pamoja na kulala gest nadhani atakuchomolea. Fanya kama adventure tu, jamaa watafune mwili tu lakini moyo endelea kumwachia jamaa! lol!

wewe ungekuwa mdada ungalipata mimba ukiwa form two kama unawaza kihivi.
 



mie tatizo langu lipo tu hapo merytina wangu,
kwani wewe unapoingia guest,mawazo yako huwa ni kungonoka tu?
 

U have spoken my mind
 
kwa ujinga gani nilionao mpaka ajue ID yangu?
Kuna siku aliwahi nisimulia sredi yangu nilicheka sana
 
Aisee, hilo ni wazo zuri sana lakini tatizo jamaa yake mlokole hatafunii gest, sasa hata wakisafiri na kulala gest atamchomolea tu. lol!

kiroho atachomoa ila kimwili atakula mimi mwanamke najua!!!
tatizo ni kwamba yupo bize sana just kusafiri kwa leasure haiwezekani
 


Hii nimeipenda....
 

Nilishasema kuwa sitomsaliti BF wangu (Mmasai) hata kwa kipi.Pia naamni Mmasai ananiweza sana ingawa mpaka tulazimishane kwa mambo yake ya dini.
 
wewe ungekuwa mdada ungalipata mimba ukiwa form two kama unawaza kihivi.

Lol! bidada, Mipira ipo gest mbona!! Kwani wewe hutumiagi lakini! Nakushauri tu ili usiendelee kuteseka huko kwenye magest.
 
mie tatizo langu lipo tu hapo merytina wangu,
kwani wewe unapoingia guest,mawazo yako huwa ni kungonoka tu?

hata mimi sijui hili tatizo limeanzaje?nikifungua mlango wa gesti tu ....................nimeisha
Nataka kujua kama na wenzangu wana tatizo hili pls bacha nisaidie
 
hotel and not gesti house
Kwa vihela vyetu ntalalaje hotelini?
chumbani hotelini hakuti tamaa?

Siwezi lala Guest hakuna pombe ...Hotel haina mjadala muda mwingi nakuwa bar...
 
MERTYNA, sinza shekilango ipi unayolala kwa 10,000? Kama ni mti mrefu (kamanyola), basi pale ni danguro, no wonder ukiingia tgu unasikia kelele!
 
kumbee eh hata wewe unawaza kungonoka kila unapoingia gesti.
at least i can feel i m normal



Wala hata usijishangae... imagination yako ni bora kuliko yangu...lol... nikitaja itakubidi ufunge thread nzima...
 
Basically mie sioni tatizo kwani kila siku nyumbani sio fresh... unaweza mwambia mkaenda hotel kama sio guest house... au popote pale mfano beach za hapa dar kigamboni kuna vibanda unalipa 30 usd unalala kando kabisa ya bahari uku ukipata maraha. Unaweza fanya kwenye balcony ya ofisi au ukumbi wa disko. Yaani popote pale. La msingi zingatia usalama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…