Naogopa kumwambia kuwa nina hamu ya kufanyia mapenzi gesti house

hata mimi sijui hili tatizo limeanzaje?nikifungua mlango wa gesti tu ....................nimeisha
Nataka kujua kama na wenzangu wana tatizo hili pls bacha nisaidie

hebu nenda kwa PM huko,
nimekuwekea mambo yote hadharani!!!!!!!
 
Kwani ukienda naye hotel kama vile CITY NOVELTY, LION and the like itakuwaje? Mwmabie tu kwmaba leo nimechoka twende tukalale hotel!

unasema kirahisi kwa kuwa humjui jamaa alivyo mdini.
ya nini kuliweka penzi kwenye mashaka
 
Nadhani njia rahisi ni kuomba mume/mpenzi wako umtoe out na umwambie kabisa kuwa outing yenyewe si ya kurudi home siku hiyo,kisha mpeleke hoteli ukaburudike.Kwa nini ujiumize nafsi yako bure wakati yeye ni wako? vunja ukimya tuu.

ntajaribu kumtania nione reaction yake
akipoa nakazia namwambia niko serious ila naogopa jamani mwenzenu nisije onekana malaya kumbe siyo
 
utani mwingine utazania ukweli.
Naapa naahidi sitodu na mwingine labda niachike
Ni-PM kama hujanikuta ndio mwenyewe..... shauri yako maana mi nakucheki tu..... Ila nafarijika ninapokutana na viapo vyako vya kulinda uaminifu.... Basi mi nafurahia kukucheki kiaina vile....
 
Sasa wewe Merytina, nini huwa kinakunyegesha, ni hiyo milio ya shughuli next room au wewe ukiingia room kwako tu mihemuko nayo inapanda? Ulishawahi kushughulikiwa gest before?

currently sio milio bali imaginations ambazo nashindwa kuzifuta zinaanza pale tu napopewa funguo
sijawai fanyia gest
 
unasema kirahisi kwa kuwa humjui jamaa alivyo mdini.
ya nini kuliweka penzi kwenye mashaka

Kama ni mdini kweli si asingekumega mpaka akuoe!!! Au udini upo kwenye kuchagua mazingira ya tendo la uumbaji tu! lol!
 
i like you Samora for this.
ila hujaniambia kama na wewe akili huamia chini unapoingia gesti?

Lol.. inategemea guest/au hotel yenyewe ikoje dear, kuna hotel/guest house zingine ziko kimtego sana, koridoni unakutana na couples zimekaa kimahaba au unapita mlangoni kwa mwenzio unasikia milio ya utamu hapo lazima nawe fikra zihamie chini its natural wala sio tabia mbaya aisee ila usijaribu kufata tamaa za mwili..\

but kuna hotel zingine unaingia shwari kabisa kila mtu yuko busy na ripoti au mambo mengine yani strict bussiness hapo huwezi kujikuta na mihemuko ya kibaolojia!:bathbaby:
 
currently sio milio bali imaginations ambazo nashindwa kuzifuta zinaanza pale tu napopewa funguo
sijawai fanyia gest

Kwanini uteseke hivyo mamy? Si uniambie tu kavukavu ili tufahamiane?
 
Mwambie tu kwamba unataka ubadilishe venue iwe guest house. Au mwambie akutoe out then nendeni kwenye hotel kubwa na kama hamna watoto mwombe mlale huko huko ili mtwangane vizuri.

Pole bibie kwa kuteseka na hamu ya kubanjuliwa guest house.
 
Ushauri tu; jaribu kutafuta njia ya kuondokana na hizo imaginations au la kuna siku lazima utakuja megwa na njemba (might be someone you know already na ikatokea by chance mpo kwenye gest moja).
 
Ni-PM kama hujanikuta ndio mwenyewe..... shauri yako maana mi nakucheki tu..... Ila nafarijika ninapokutana na viapo vyako vya kulinda uaminifu.... Basi mi nafurahia kukucheki kiaina vile....

sio wewe Konakali Mmasai
if ni wewe kwa nini hutaki twende Monduli Jpili kwa pikipiki nikikuendesha mimi unalazimishia gari wakati linabaki mjini?
 
Kama ni mdini kweli si asingekumega mpaka akuoe!!! Au udini upo kwenye kuchagua mazingira ya tendo la uumbaji tu! lol!

tunadoo kibahatimbaya na kidharura sio kwamba tunapanga
 
Ukiona unashindwa kumwambia huyo wa kwako basi mtafute unayeweza kumwambia na umweleze......................
 
aah wakufanana
 
Mtoto unapenda sana michezo ya kikubwa wewe hahahahaaa, yaani kushika funguo tu huwazi kuoga maji moto huwazi kulala wala kuongea na simu kwa mahaba na mmasai wako? jitafuttia activities za kufanya ukiingia room, hata kama kupanga begi upya na kuchatio na friends mpaka unapitiwa, kama vipi one nite stand ila ufate rules zake lol!!! joke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…