Mwambie tu kwamba unataka ubadilishe venue iwe guest house. Au mwambie akutoe out then nendeni kwenye hotel kubwa na kama hamna watoto mwombe mlale huko huko ili mtwangane vizuri.
Pole bibie kwa kuteseka na hamu ya kubanjuliwa guest house.
Hivi Mzungu bado?
Ushauri tu; jaribu kutafuta njia ya kuondokana na hizo imaginations au la kuna siku lazima utakuja megwa na njemba (might be someone you know already na ikatokea by chance mpo kwenye gest moja).
Ukiona unashindwa kumwambia huyo wa kwako basi mtafute unayeweza kumwambia na umweleze......................
hata mimi sijui hili tatizo limeanzaje?nikifungua mlango wa gesti tu ....................nimeisha
Nataka kujua kama na wenzangu wana tatizo hili pls bacha nisaidie
Mtoto unapenda sana michezo ya kikubwa wewe hahahahaaa, yaani kushika funguo tu huwazi kuoga maji moto huwazi kulala wala kuongea na simu kwa mahaba na mmasai wako? jitafuttia activities za kufanya ukiingia room, hata kama kupanga begi upya na kuchatio na friends mpaka unapitiwa, kama vipi one nite stand ila ufate rules zake lol!!! joke
Huwa unafikia guest gani? Unataraji kuja lini? Inabidi nisicheze mbali, nikiona mgeni anaingia na kuanza kweweseka tu, naingia, najua akili utakuwa umeazimwa na shetani, fahamu itaporudi, kila kitu tayari.
Nilipokuwa nachagua BF wa kuwa mume sikutaka kabisa mtu wa dunia bali mcha mungu na huyu ndio waridi langu.Leo hii nianze kumpeleka gesti hapana atanionaje?
JF mutaponza nionekane mchafu buree
Unanitisha ila siamini kama itatokea nikiwa na ubongo huu
Nalala Skekilango
siitaji mgeni wa kiume karibu yangu niwapo gesti
Go on Kwamex hata kwa PMUnataka umpeleke mmasai guest, tumia sanaa tu atajikuta yupo guest halaf anakuomba msamaha kwa kukupeleka guest.
Huyo ni pepo tu, jaribu wasiliana na watu wa mungu (wachungaji) wakuombee....pole!
Unaweza pata msaada usiotarajia na ukaufurahia.
Hivi bidada, umeshawahifanya tendo la uumbaji na men ngapi so far?
wawili.Mhaya na Mmasai
wewe umefanyaga na wangapi??
Duh! hata sikumbuki kwani niliacha kuhesabu siku nyingi sana!