Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
DOGO WEE VIPI...
there are two things involved ...either UMEOWA...or...UMEOLEWA...UKIOA YOU R LUCKY...ukiolewa there are two things involved.
Mkuu, unanikumbusha joke moja, sijui mganda yule jamaa!?
kama huwezi kuoa, FANYA KINYUMECHAKE , YAANI oLEWA....SAMAHI.LAKINI USHAURI WANGUHii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Mkuu, unanikumbusha joke moja, sijui mganda yule jamaa!?
Anasema: In life, there are two things involved:
You are either a man or a woman. If you are a woman, you are safe. If you are a man, there are two things involved. You are either a soldier or a civilian.
If you are civilian, you are safe but if you are a soldier, there are two things involved - you either stay in the office or sent in a battle field.
If you stay in the office, you are safe but if you are at the battle field, there are two things involved - you either kill a man or you get killed.
If you kill a man, you are safe but if you get killed, there are two things involved.
and on..and on....
That was a joke of the year I tell you. Is that guy Ugandan or Nigerian?
Uhondo wa ngoma ingia ucheze ....
kila mmoja ana exprince ya maisha yake ya ndoa kwako inaweza kuwa ni paradise mpya
Usiogope amini mwenyezi mungu atakuwezesha
Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Uhondo wa ngoma ingia ucheze ....
kila mmoja ana exprince ya maisha yake ya ndoa kwako inaweza kuwa ni paradise mpya
Usiogope amini mwenyezi mungu atakuwezesha
Hii wana JF
Umri wa kuoa ndio umewadia ila story za maisha ya ndoa ninavyosikia nakata tamaa kabisa ya kuoa. Nimeona wengi wanatoka nje ya ndoa wake kwa waume, cha ajabu ni kwamba watu kibao wanakuwa wanafahamu kuhusu cheating inayoendelea kasoro mume au mke anaezungukwa.
Kuwa single bila familia nayo issue!. Maisha ya kudate kama bf and gf ni easy kila mtu anakwao ni easy na matamu lkn nayo yanamwisho.
Hebu tusaidiane hapo
Regards
Try to be homosexual ............instead!