Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 423
- 90
Mkuu,
sio kila ajira inaangalia GPA..
Angalia fani yako inahitaji uwe na utaalamu upi, jaribu kuangalia ni skills gani zinahitajika, then angalia namna ya kujiendeleza na kufikia viwango vinavyohitajika kwenye soko la ajira.
watu wana GPA za 3.8 hawana kazi hapo utasemaje? hakuna mambo ya kuangalia GPA's kazini