naogopa kupima ngoma

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,420
wakuu naombeni msaada wenu,naogopa sana sana kupima kama nina virusi vya ukimwi,kusema kweli nilikopita na wanawake niliochukua ndio hasa kumbukumbu inanifanya nifikie hatua hiyo
mungu anisaidie lakini mimi mwoga mno kupima wazee;;msaada nifanye nini??japo siumwi lakini nahisi huenda nilishaupata kutoka kwenye matukio ya nyuma
 
Unatania!!!!!we jikaze kibishi chukua hatua kama unaenda pima malaria,!!!!mbona rahisi sana,ila ugumu wake ni kusubiria majibu!!!inabidi uende na rafiki yako ili akupe moyo kidogo!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…