nitapata wapi huo ujasiri mimi?na wametangaza hakuna dawa milele
mmkuu mimi nilikuwa naogopa siwezi hata kukueleza ila kujua afya yako ni jambo jema sana nilikuwa naogopa hata kubeba mimba maana ni lazima mama mjamzito apimenitapata wapi huo ujasiri mimi?na wametangaza hakuna dawa milele
mmkuu mimi nilikuwa naogopa siwezi hata kukueleza ila kujua afya yako ni jambo jema sana nilikuwa naogopa hata kubeba mimba maana ni lazima mama mjamzito apime
ila namshukuru mungu nimepima niko fresh ni full kujiachia sasa natafuta tu baba mtoto
vigezo na masharti kuzingatiwaNichukue mimi basi smile
vigezo na masharti kuzingatiwa[mmkuu mimi nilikuwa naogopa siwezi hata kukueleza ila kujua afya yako ni jambo jema sana nilikuwa naogopa hata kubeba mimba maana ni lazima mama mjamzito apime
ila namshukuru mungu nimepima niko fresh ni full kujiachia sasa natafuta tu baba mtoto)
Smile ilo nalo neno inabidi tusomane maana umri unaenda na mimi natafuta kinyume chake hiyo
jamani dawa ni kubadili tabia kwa wote wawili sio mmoja ni kazi bure kuishia kupima tu then mwendo mdundo,ni sawasawa na ujitibu malaria halafu unalala bila neti utauguwa tena na tenaaaa, ni hayo tu[mmkuu mimi nilikuwa naogopa siwezi hata kukueleza ila kujua afya yako ni jambo jema sana nilikuwa naogopa hata kubeba mimba maana ni lazima mama mjamzito apime
ila namshukuru mungu nimepima niko fresh ni full kujiachia sasa natafuta tu baba mtoto)
Smile ilo nalo neno inabidi tusomane maana umri unaenda na mimi natafuta kinyume chake hiyo
nitapata wapi huo ujasiri mimi?na wametangaza hakuna dawa milele
karibu sana mtoto.mmkuu mimi nilikuwa naogopa siwezi hata kukueleza ila kujua afya yako ni jambo jema sana nilikuwa naogopa hata kubeba mimba maana ni lazima mama mjamzito apime
ila namshukuru mungu nimepima niko fresh ni full kujiachia sasa natafuta tu baba mtoto
nitapata wapi huo ujasiri mimi?na wametangaza hakuna dawa milele