Apo sasa kaZi , mwambie awe na sabra kidogo ,,
Nimeanza kazi at 23 na nilikuwa na akili zote, get married bwana. Hata wanaooana at 30 wanachemsha. The girl at 21 tayari anaweza tunza nyumba kama wa 27, ni utulivu wake tu. Wewe ndio wamjua, wengi wanaoana at 27 ni shule ndizo huchangia; kama mna uwezo wa kuishi mimi sioni tatizo mkipata baraja za Mungu na wazazi.
Am 24 na my girl 21
Nampenda na cna mashaka juu ya mapenz yangu kwake. Nimejiuliza mara nying kikaona kiukweli nampenda mzur sana hasa tabia. Tatizo yupo serous anataka ndoa huwa tuna shindanaga kwa hoja kama nimuoe au tusubiri mara zote ananishinda mambo mengi ya msingi yametimia. Ila mi nina wasiwasi mkubwa na umri wetu labda kuna vitu inabidi tujifunze kwa kusubiri umri upite kidogo, nina hofu may be hatuijui ndoa. Am so afraid help plz ctaki kukosea kwan nampenda.