Habari wana jf,natumai mu wazima!Leo nimekuja jukwaani hili niombe msaada wa ushauri na matibabu pia,Nina mdogo wangu wa kiume yupo kidato cha kwanza sasa,Tatizo linalomkabiri ni ametokwa na maziwa km ya watoto wa kike!yalianza mwez wa nne mwaka huu na yanamnyima sana uhuru hata kukaa boarding limekuwa tatizo kwake kwan wenzake wakimuona wanamtania..JE KUNA TIBA YOYOTE HATA YA KIENYEJI NAWEZA PATA NIKAMSAIDIA?
Naombeni sn ushauri na msaada wenu niweze mrudisha ktk hali ya kawaida.
NAOMBA KUWASIRISHA.anapata shida sana kwani hata kucheza na wenzake anacheza kwa taadhari wasije wakamuona