Habari wadau,
Siku za karibuni nimeanza kufanya biashara za usindikaji, nasindika asali na korosho, ila nna changamoto ya kuwa na barcode kwa bidhaa zangu, naomba kwa anaejua mchakato wa kupata barcode, anijulishe na kama anajua gharama zake pia anijulishe.
Ahsante sana.