Naomba anayejua Advocate/ Lawyer Office wa kuaminika kwenye kesi za ardhi/ viwanja

Naomba anayejua Advocate/ Lawyer Office wa kuaminika kwenye kesi za ardhi/ viwanja

kingjitu

Member
Joined
Jul 24, 2009
Posts
24
Reaction score
3
Wana JF, Kwa yeyote yule anayefahamu lawyer au advocate offices za utetezi hususan waliobobea kwenye sheria za utoaji Ardhi/ viwanja.

Nitashukuru sana, maana nataka kudhulumiwa kiwanja changu.
 
Wana JF, Kwa yeyote yule anayefahamu lawyer au advocate offices za utetezi hususan waliobobea kwenye sheria za utoaji Ardhi/ viwanja. Nitashukuru sana, maana nataka kudhurumiwa kiwanja changu.

Niambie unataka wa namna gani maana mimi nawafahamu affordable, hali ya kati na hali ya juu, sema unataka yupi kati ya hawa
 
Niambie unataka wa namna gani maana mimi nawafahamu affordable, hali ya kati na hali ya juu, sema unataka yupi kati ya hawa

Nahitaji wote ili nikishaongea nao nitafahamu yupi atakaye nifaa, nashukuru sana kwa response yako mkuu..
 
Nahitaji wote ili nikishaongea nao nitafahamu yupi atakaye nifaa, nashukuru sana kwa response yako mkuu..

Cheki na huyu hapa 0713421043 SAMSON RUSSUMO & CO. ADVOCATES office yake ipo Kariakoo mtaa wa Swahili
 
Hao wote waliotajwa wamefundishwa na huyu
Prof Gamaliel Mgongo Fimbo na hao mahakimu na majudge wamepitia kwake so nenda kamuone bingwa wa mabingwa. Nenda udsm school of law utampata au contacts zake utapata
 
Si vibaya ukaweka wazi ishu inayokusumbua pengine utapata mwanga wa kushughulikia suala lako kwa urahisi zaidi
 
Hao wote waliotajwa wamefundishwa na huyu
Prof gamaliel mgongo fimbo na hao mahakimu na majudge wamepitia kwake so nenda kamuone bingwa wa mabingwa
Nenda udsm school of law utampata au contacts zake utapata
Kumbuka kuwa tacit knowledge ambayo expert hawezi kuiweka kwenye vitendo... Couches hawezi kucheza mpira pamoja na kuwa wanaufundisha....Ila Fimbo ni mzuri, ameandika sana kuhusu ardhi and the like
 
Wana JF, Kwa yeyote yule anayefahamu lawyer au advocate offices za utetezi hususan waliobobea kwenye sheria za utoaji Ardhi/ viwanja.

Nitashukuru sana, maana nataka kudhurumiwa kiwanja changu.
0627024916
Nitafute upate msaada kisheria
 
Piga 0758144803 achana na hao wachumia matumbo..
Nina imani kabisa kuwa wewe uliyendika hapa sio wakili wala mwanasheria na kama ni hivyo, basi jifunze namna ya kukosoa michango ya wenzako kwa lugha yenye staha. Na kama ni wakili basi utakua na tatizo kubwa sanaaaa kwenye taaluma yako.

Asante.
 
Proffessor Gamalieli Mgongo Fimbo (Advoacte)

Reference
BISHOP METHUSELA NYAGASWA's CASE
SUZANA KAKUBUKUBU CASE
Soma pia kesi ya Imerimeleva na kesi ya Scholastica Benedict, Fimbo ni academia mzuri, hata akishindwa kesi, mtiti wake unauona.
 
Wewe utakuwa sio wakili na pengine sio mwanasheria kabisa sababu kwa maadili tulofundishwa wanasheria hautakiwi kutoa lugha chafu na ya kuudhi dhidi ya mwanasheria mwenzio au mtu yoyote kwenye jamii.
Maybe wakati mnafundishwa kuhusu kuheshimiana miongoni mwa court officers ye hakuwepo dalasani
 
Back
Top Bottom