Mkuu the best Business Aidea inatoka kwako wewe mwenyewe,na inashangaza kwamba unaishi hapa hapa duniani lakini huwezi kupata wazo labiashara, MKUU
1, UNAKULA
2,unakunywa
3,Unalala
4. Unatembea
5. Unaona/unatazama
6.Unasikia
7. Unasoma
Kama unafanya hivyo vyote huwezi kosa wazo la biashara hata siku mojamkuu na wazo bora linatoka kichwani mwako na kama huwezi kutafuta wazo zuri labiashara hutaweza kuendesha biashara yeyote ile
S0
1. soma magazeti yenye makala za biashara/uchumi
2. Tazama television hasa vipindi vya uchumi na biashara
3. soma vitabu vya biashara na machapisho ya biashara
4. Tembea/safiri from one place to another
5. Blog au website mbalimbali unaweza kuja na wazo la biashara. websitekama ya AFRCAN REPORT, ENABLIS NA WEBSITE ZINGINE ZA BUSINESS PLANINGCOMPETITION ZIKO KIBAO SEARCH.
UKIFANYA HAYO HUWEZI KOSA WAZO LA BIASHARA HATA SIKU MOJA