Elections 2010 Naomba CCM ishinde kwa 100% Eee Mungu nisaidie na nisamehe


Well said Zak. Ukiacha uhovyo na uharamu wa NEC, kuna mengine mengi ambayo hayko sawa katika kuleta demokrasia ya usawa, mambo ambayo serikali ya CCM inayafahamu sana na haitaki kuyarekebisha kwa sababu inaogopa itakuja kupoteza madaraka. Mengi sana!
 
I don't think that it is a good idea.WHY CAN'T WE WAIT FOR OCTOBER AND SEE THE RESULT .?
 

Mwisho kabla hujanipa Ukada wa chama chochote rudia nilichokiandika na Uelewe ni namaanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…