Habari zenu
Naitwa neema, nina miaka 26 na nimemaliza degree ya Account and Finance, kama mnavyojua kazi changamoto, nimeshatuma cv sehemu nyingi na kufanya interview lakini bado hali ni ngumu kila iitwapo leo afadhali ya jana. Maisha yamekuwa magumu kwelikweli
Natafuta kazi yoyote iwe halali niweze kujikimu kwani hata uwezo wa kujiajiri sina kama mnavyoelewa sie tuliotokea kwenye familia za kawaida
Pia mtu mwenye connection ya kazi nje ya Tanzania niko tayari kufanya kazi za usafi, supermarket, restaurant
Tusaidiane jamani maisha ni magumu sana
For more information naomba tuwasiliane inbox
Asante
Naitwa neema, nina miaka 26 na nimemaliza degree ya Account and Finance, kama mnavyojua kazi changamoto, nimeshatuma cv sehemu nyingi na kufanya interview lakini bado hali ni ngumu kila iitwapo leo afadhali ya jana. Maisha yamekuwa magumu kwelikweli
Natafuta kazi yoyote iwe halali niweze kujikimu kwani hata uwezo wa kujiajiri sina kama mnavyoelewa sie tuliotokea kwenye familia za kawaida
Pia mtu mwenye connection ya kazi nje ya Tanzania niko tayari kufanya kazi za usafi, supermarket, restaurant
Tusaidiane jamani maisha ni magumu sana
For more information naomba tuwasiliane inbox
Asante